Searching...
Ijumaa, 4 Julai 2014

BARACK OBAMA AMPIGIA SIMU HOWARD KUMPA PONGEZI

Dialling in: America president Barack Obama rang USA stars Clint Dempsey and Tim Howard on Wednesday Pamoja na timu ya taifa ya Marekani kutolewa kwenye michuano ya kombe la dunia huko nchini Brazili,Rais wa Marekani Barack Obama amewapongeza wacezaji wa timu hiyo kwa umahiri wao waliouonyesha kulipigania taifa,hapa Rais Obama alikua akiongea na mlinda mlango wa Marekani Tim Howard na baadaye alizungumza na Clint Dempsey kuwapa heshima ya kipekee.
Edge of your seat! Obama watched the World Cup defeat against Belgium at the Eisenhower Executive Office Barack Obama alipokua akiishuhudia timu yake iking'olewa kwenye michuano ya dunia na Ubelgiji
Heroic: American goalkeeper Tim Howard blocked 16 shots on goal Tuesday night - posting an astonishing performance in the USMNT's 1-2 loss against Belgium Tim Howard aliokoa michomo hatari 16katika mechi kati ya Marekani na Ubelgiji.
Hongereni sana vijana wangu....mmetolewa kiume.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!