Arsenal na Tottenham Hotspur wapo katika vita kali ya kuwania saini ya beki wa kati wa timu ya taifa ya Uholanzi na klabu ya Ajax Joel Veltman kufuatia chipukizi huyo mwenye umri wa miaka 22 kufanya vizuri katika mashindano ya kombe la dunia hiko nchini Brazili chini ya kocha wake Louis Van Gaal.
Jumamosi, 5 Julai 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni