Searching...
Jumamosi, 5 Julai 2014

ARGENTINA WATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA,UBELGIJI WAFA KIUME.

Michuano ya kuwania ubingwa ama ufalme wa soka duniani umeendelea usiku huu huko nchini Brazili ambapo miamba miwili ya soka Argentina walishuka dimbani kusaka tiketi ya kucheza nusu fainali mtanange ambao umeitupa nje Ubelgiji kwa kichapo cha 1-0 kutoka kwa Argentina.
Fine finish: Gonzalo Higuain gave Argentina the lead with a fine volley into the bottom corner early on Goli pekee la Argentina lilifungwa na Gonzalo Higuain kufuatia pasi iliyokua haijalengwa kumuendea Higuan kugongwa kwa bahati mbaya na mchezaji wa Ubelgiji na kisha Higuan kuunganisha mpira huo kimiani na kumuacha mlinda mlango wa Chelsea akishuhudia mpira wavuni
Great start: The Napoli striker shows his passion after netting the opener in Brasilia Wachezaji wa Argentina wakishangilia ushindi
Team spirit: His Argentina team-mates celebrate with him after the strike raha ya ushindiiiii
Shock: Belgium captain Vincent Kompany looks dejected after the goal Nahodha wa timu ya taifa ya Ubelgiji Vincent Kompany akiwa hoi baada ya mpira kuisha na kuondolewa katika michuanol.
Can't catch him: Barcelona forward Lionel Messi was in fine form in Brasilia on Saturday Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi akifanya yake uwanjani japo bado ameendelea kukumbwa na ukame wa magoli katika michuano hii.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!