Searching...
Jumapili, 29 Juni 2014

VAN GAAL KUWAPORA LIVERPOOL MCHEZAJI WAO MKONGWE

Leader: Holland and Manchester United boss Louis van Gaal (right) is considering a move for Dirk Kuyt
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Louis Van Gaal ambaye anamalizia muda wake kabla ya kutimkia Man U baada ya tu ya kombe la dunia ameweka wazi kwamba anafanya kila liwezekanalo ili kumnasa mkongwe wa Liverpool Dirk Kuyt.
Future teammates? Kuyt and United striker Robin van Persie during practice for Holland Dick Kuyt akiteta jambo na mshambuliaji wa United Robin van Persie katika mazoezi ya timu ya taifa huko nchini Brazili,ambaye kama usajili wake utakamilika basi watakua wote ndani ya uwanja wa nyumbani wa Old Trafford
Control: Kuyt spent six years with Liverpool in the Premier League and Van Gaal admires his attitude
Dick Kuyt ameitumikia klabu yake ya Liverpool kwa kipindi cha miaka sita na sasa Van Gaal anataka kutumia nafasi yake ya ukocha wa timu ya taifa kumshawishi kujiunga naye msimu ujao.
All smiles: Holland cruised into the last 15 of the World Cup after beating Spain, Chile and Australia
Dick Kuyte ni mmoja wa wachezaji wa timu ya taifa ya Uholanzi aliyeisaidia kuwafunga Hispania, Chile na Australia na kuondoka na pointi zote tisa za raundi ya kwanza katika michuano ya kombe la dunia inayoendelea huko nchini Brazili.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!