Searching...
Jumapili, 29 Juni 2014

DAVID BECKHAM AHAMIA RSMI MCHEZO WA TENNIS

Thumbs up: David continued to greet fans, even as he left the Royal Box
Baada ya timu ya taifa ya soka ya Uingereza kuondeshwa mapema kwenye kinyang'anyiro cha kuwania taji la dunia huko nchini Brazili,mastaa mbali mbali wa Uingereza sasa wamehamia kwenye mchezo wa Tennis hoko Wimbledon kama njia pekee ya kujiliwaza na machungu ya kuondoshwa mapema kunako kombe la dunia nchini Brazili. 
 Arriving in style: The retired footballer and his mother both put their best fashion foot forward for their day out
Mmoja wa mastaa waliohamia kuangalia mchezo wa Tennis badala ya Soka ni mkongwe wa soka na kipenzi cha Waingereza,Manchester United,Real Madrid na wapenda soka kote duniani David Beckham ambaye ameonekana katika michuano ya Tennis Wimbledon huku akiwa na mama yake mzazi.
 Bravo: David stood to applaud Spain's Rafael Nadal, as he won his men's singles third round match against Kazakhstan's Mikhail Kukushkin
David Beckham akiwa na mama yake mzazi Sandra eneo la VIP huko Wimbledon, wakipokelewa kwa makofi kabla ya kukaa katikati ya eneo la watu maarufu wakishuhudia mechi kali kati ya Mikhail Kuskushkin akichuana vilivyo na mkongwe Rafael Nadal jana jumamosi.
That's my boy: David Beckham, seated in front of Sir Bobby Charlton, took his mother Sandra to watch Mikhail Kuskushkin battle it out with Rafael Nadal at Wimbledon on Saturday
David Beckham akiwa amekaa mbele ya mkongwe wa Manchester United Sir Bobby Charlton akiwa na mama yake kushoto wakishuhudia mechi kati ya Mikhail Kuskushkin Vs Rafael Nadal katiak uwanja wa Wimbledon jana jumamosi.
Hero's welcome: David waved to fans before taking his seat in the Royal Box
David Beckham akiwapungia mkono mashabiki wake kabla hajakaa kwenye kiti chake kushuhudia mechi kati ya Mikhail Kuskushkin Vs Rafael Nadal katiak uwanja wa Wimbledon jana jumamosi.
Stars in their eyes: Former footballers David and Sir Bobby received an enthusiastic greeting from the crowd
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza David Beckham akiwa na Sir Bobby wakipokelewa uwanjani na makelele ya furaha baada ya kuingia uwanjani kushuhudia mechi kati ya Mikhail Kuskushkin Vs Rafael Nadal katiak uwanja wa Wimbledon jana jumamosi.
Buttoning up: David's beard added a little edge to his slick ensemble Afande naye alijisahau kuendelea na kutekeleza majukumu yake uwanjani na kujikuta akisalimiana na Beckham na kuendelea na story.
Strike a pose: The sportsman took selfies with a group of appreciative fans
Mashabiki waliokaa karibu na Beckham walibahatika kupiga naye picha za kumbukumbu huku wakiwa hawaamini kuonana na Beck.

A symbol of love: The star, married to Victoria Beckham, had his wedding ring on clear display
David akionyesha lama ya Upendo (salute) huku pete yake ya ndoa ikiwa inaonekana wazi,Beckham amemuoa Victoria.
Put your hands up: David enjoyed a lively moment as he watched Switzerland's Roger Federer play Colombia's Santiago Giraldo
Red Devils: Both David and Sir Bobby have enjoyed long and fruitful careers at Manchester United David na Sir Bobby wakiwapungia mashabiki wa Manchester United ambao walikua wakiimba wimbo wa Man U.
Great sports: The footballing heroes' trip to Wimbledon likely took their minds of England's poor performance at the World Cup David Beckham akionekana mwenye furaha na kusahau machungu ya timu yake ya taifa kuondoshwa mapema kunako kombe la dunia huko nchini Brazili.
Talk sport: During the intense match, David and Sir Bobby took some time out to have a quick chat
..............Mazungumzo baada ya mapumziko.....
Focused: The star hydrated himself with a bottle of water as he watched the game ....David Beckham akipozi na chupa yake ya maji mkononi....

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!