Searching...
Jumapili, 6 Aprili 2014

MAFIKIZORO WAFUNIKA MLIMANI CITY JIJINI DAR USIKU HUU


Wakali wa kundi la mafikizoro usiku huu wanaendelea na kukamua ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, Nyomi ya watu imefurika ukumbini kuwashuhudia wakali hawa wa mafikizoro.
...Wakali wa kundi la mafikizoro usiku huu wanaendelea na kukamua.
...Nyomi ya watu imefurika ukumbini usiku huu.
Mashabiki wa Mafikizoro wakicheza moja ya wimbo ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, Usiku huu.
(PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL)

0 comments:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Back to top!