Searching...
Alhamisi, 20 Februari 2014

TUNAOMBA RADHI KUNA PICHA ZINATISHA-AJALI YA LORI MLIMA SEKENGE 4WAUNGUA WABAKI MAFUVU.




 Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwemo kwenye Lori hilo.

  Mwili wa mmoja wa abiria waliokuwemo katika lori hilo la mafuta ukiwa umeungua na kubaki kama unavyouona


 Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua na kusababisha vifo vya watu 4


 Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii



 Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii


wananchi wakiwa hawaamini macho yao.


 Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa


 Hii ni njia ya mlima sekenke




Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana



Lori la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.Chanzo cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo.Shuhuda wa ajali hiyo bwana Julius chacha alipoongea na mtandao wetu amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.Akiendelea kuongea shuhuda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwa kwa moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea.Watu wanne wamekuufa papo hapo kutokana na ajali hiyo.Polisi walikuwa bado hawajafika eneo la tukio mpaka tunaondoka eneo la tukio.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!