Searching...
Jumanne, 18 Februari 2014

TETESI ZA SOKA ULAYA KUHUSU MARIO BALOTELI,MARIO MANDZUKIK NA WILLIAM CARVALHO.

 
MARIO BALOTELI.
Kocha wa Arsenal Mfaransa Arsene Wenger amesema yupo tayari kutoa kitita kikubwa cha fedha ili kumsajili mshambuliaji mtukutu wa Italia anayekipiga na klabu ya AC Milan Mario Balotelli, 23, baada ya kufanya mazungumzo ya mafanikio na wakala wa mchezaji huyo.
MARIO MANDZUKIK.
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema yupo tayari kutoa kitita cha paundi milioni 25 ili kuinasa saini ya mshambuliaji nguli wa Bayern Munich,27 Mario Mandzukic.  
Manchester United have scouted Sporting Lisbon's William Carvalho for a TWELFTH time this season 
WILLIAM CARVALHO.
Manchester United wamesema wamemfanyia uchunguzi mara kumi na mbili msimu huu kiungo kinda wa Sporting Lisbon William Carvalho ambapo wamesema wapo tayari kumsajili mwishoni mwa msimu huu baada ya kuridhishwa na kiwango chake.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!