Searching...
Jumapili, 16 Februari 2014

HIVI NDIVYO CHELSEA WALIVYOKIMBIZWA MCHAKA MCHAKA NA MAN CITY FA

Manuel Pellegrini gains revenge over Jose Mourinho as City sail through 
Mchezaji wa Manchester City Steven Jovetic akiifungia timu yake bao la kuuongoza dhidi ya Chelsea huku golikipa wa Chelsea Peter Cech akishuhudia kwa uchungu,ambapo hadi mwisho wa mchezo Manchester City waliibuka na ushindi wa mabao 2-1,katika mchezo wa kombe la FA uliochezwa katika uwanja wa Ethad.
Manuel Pellegrini gains revenge over Jose Mourinho as City sail through 
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akijitahidi kuwahisha mpira ili kukimbia na muda huku kocha mwenzake wa City Manuel Pellegrini akimchungulia kwa pembeni.
Lacklustre Chelsea will have upset Jose Mourinho 
Mlinzi wa kisiki wa Chelsea David Luiz na kiungo mkabaji Nemanja Matic wakipambana kuokoa mchongo uliokuwa unaelekezwa golini kwao.
 Jovetic fires City in front against Chelsea

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!