
Naibu
Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akipokea Zawadi ya Ua wakati
akipokewa na Wafanyakazi wa Wizara hiyo jijini Dar leo,Tukio hilo
limefanyika Nje ya Wizara ya Fedha ambapo mamia ya Wafanyakazi asubuhi
ya leo walijitokeza Kuwalaki Mawaziri wapya walioteuliwa na Rais Kikwete
wiki iliyopita ili kujaza nafasi za Mawaziri wanne zilizokuwa Wazi
kutokana na Kujiuzulu pamoja na Kifo cha Waziri wa Fedha Marehemu
Mgimwa.


Mapokezi yakiendelea asubuhi ya leo Nje ya Wizara ya Fedha.


Naibu Waziri wa Fedha Mh:Mwigulu Nchemba akilakiwa na Maofisa wa
Wizara ya Fedha mapema hii leo asubuhi wakati alipofika Ofisini hapo
rasmi kuanza kazi.

0 comments:
Chapisha Maoni