Searching...
Jumamosi, 4 Januari 2014

MWILI WA WAZIRI MGIMWA WAWASILI NCHINI LEO


Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk.William Mgimwa umewasili nchini hii leo kwa ndege ya shirika la ndege la Kenya (KQ) na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali wakiongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue opamoja na Mawaziri mbalimbali na Wabunge.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!