Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Ilani Katiba na
Sera ya CCM mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki CCM Mahamoud
Thabit Kombo kwenye uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa Uwakilishi
wa Jimbo hilo uliofanyika leo jioni katika uwanja wa Tawi la CCM Kiembe
samaki.
Jumatano, 22 Januari 2014
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni