Searching...
Jumatano, 8 Januari 2014

HIVI NDIVYO MANCHESTER UNITED WALIVYOPIGWA 2-1 NA SUNDERLAND NUSU FAINALI KOMBE LA CAPITAL ONE

Mapema makocha wote wawili walisalimiana kwa furaha,huku Moyes akionekana kuwa na sura ya kujiamini zaidi.Fabio Borini scores 
Sunderland wakifunga goli lao la pili kwa njia ya penalt baada Tom Cleverley kumchezea madhambi Adam Johnson.One David Moyes! United fans chant support for boss 
Kocha wa Manchester United David Moyes akiwa haamini macho yake baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Sunderland katika mechi kali ya nusu fainali ya kombe la Capital One,kombe pekee walilokuwa wakilitolea macho msimu huu.
 Manchester United v Arsenal - Premier League
Wahenga walisema jambo usilolijua ni kama usiku wa giza,hawa ni mashabiki wa Manchester United wakiwa na matumaini tele muda mfupi kabla ya mechi yao ya nusu fainali dhidi ya Sunderland na kisha kupokea kipigo cha mabao 2-1 na kutoka uwanjani wakiwa vichwa chini.
 Bosi wa Sunderland Gus Poyet akipaisha sauti zake!David Moyes na Gus Poyet 
 Subdued: Bryan Robson, Alex Ferguson and Bobby Charlton watch on in front of Anderson
Bryan Robson, Alex Ferguson na Bobby Charlton wakiuangalia mchezo Sunderland v United
Wilshere backs Sunderland to pile on the misery for Moyes...Daaaaaaah!!!! Sijui nitawaambiaje wale wazee Ferguson na Bob Charlton...anyway nitajua huko huko!!

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!