Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akikagua daraja ambalo lilizibwa na maporomoko ya
maji yaliyoambatana na magogo , mawe na udongo na kusababisha mafuriko
katika kijiji cha Chipogoro wilayani Mpwapwa januari 17,20134.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko katika kijiji cha Fufu
wilayani Chamwino, Dodoma, Januari 17, 2014.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa
Dodoma, Rehema nchimbi na kulia kwake ni Mbunge wa Mtera, Livingstone
Lusinde.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitazama sehemu ya jengo la Kituo cha Polisi cha
kijiji cha Chipogoro wilayani Mpwapwa ambayo imeporomoka kufuatia
mafuriko yaliyokikumba kijiji hicho kufuatia mvua kubwa zianazoendelea
kunyesha mkoani Dodoma januari 17, 2014. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa
Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko yaliyokikumba kijiji
cha Chipogoro wilayani Mpwapwa Januari 17, 2014. Kulia kwake ni Naibu
Waziri wa Viwanda na Biashara na Mbunge wa Mpwapwa, Gregory Tewu na
kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.