Searching...
Jumatano, 18 Desemba 2013

WAZIRI WA ARDHI, MAKAZI NA NISHATI WA SMZ MHE. RAMADHAN SHAABAN AFUNGUA JENGO LA OFISI YA KITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA YA MAMA NA WATOTO ZANZIBAR

 Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati Mhe. Ramadhan Shaaban akikata utepe wakati akifungu Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kiliopo Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
 Mdhamini wa kitengo Shirikishi Afya ya Mzazi na Mtoto Dkt. Ali Omar Ali akimfahamisha kitu Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati Mhe. Ramadhan Shaaban alipokua akikagua jengo hilo mara baada ya kulifungua huko Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Baadhi ya wageni walikwa waliohururia katika ufunguzi wa Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto huko Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
  Waziri wa Afya Juma Duni Haji akimkaribisha mgeni rasmin Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati Mhe. Ramadhan Shaaban azungumze na wageni waalikwa katika sherehe za ufunguzi wa Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto huko Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Waziri wa Ardhi, Makazi na Nishati Mhe. Ramadhan Shaaban akiwahutubia wageni walikwa katika ufunguzi wa Jengo la Ofisi ya Kitengo Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto liliopo Kidongo Chekundu nje kidogo ya Mji wa Zanzibar, ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
 (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!