Mwenyekiti
huyo aliongeza kuwa watu hao baada ya kufanya mauaji hayo walikwenda
kumtupa kwenye eneo hilo ambapo asubuhi ya kuamkia leo ndio kiwiliwili
chake kilibainika kuwepo hapo lakini hakina kichwa kwani waliondoka
nacho.
Kwa upande wake, Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema kuwa polisi inaendelea kuwasaka watu waliohusika na tukio hilo hili hatua ziweze kuchukuliwa
Kwa upande wake, Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema kuwa polisi inaendelea kuwasaka watu waliohusika na tukio hilo hili hatua ziweze kuchukuliwa
this is abnormal ... nimeshangaa na nimesikitika saaaaana watanzania
JibuFuta