![]() |
| Wadau wa habari kwa umakini wakifuatilia kwaumakini kilichokuwa kikijiri haflani. |
![]() |
| Ni taswira za wadau shughulini hapa. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Adam Lyoba, Meneja mdhibiti viwango MCT Pili Mtambalike na Mwenyeji wao Mwenyekiti wa Mwanza Press Club Mr. Deus. |
![]() |
| Rais wa UTPC (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa MOIL (kulia). |
![]() |
| Jaji alikuwa Fredrick Katulanda (mwenye kipaza sauti) ambapo kilichofuata mara baada ya hapo ebana--eeeeeeh...Duh Uspime...!! Video yake itauzwa ghali sana. |
![]() |
| Kisha chakula.... |
![]() |
| Na mazungumzo ya hapa na pale. |
![]() |
| Wakiwa deep sana kushoto ni Hamza Kasongo na kulia ni Mansoor Dogo. |
![]() |
| Akipewa tafu na Jambo Stars Band, Aisha Hamadi aliutendea haki wimbo wa Mbilia Bell. |
![]() |
| Muziki uliwakolea... |
![]() |
| Watu walivunja makabati ... |
![]() |
| Bass guitalist. |
![]() |
| Mduala toka Tabora. |
![]() |
| Vijana wa kazi wakiwa na Mkurugenzi wa MOIL Mr. Mansoor Dogo. |
![]() |
| G. Sengo (L) akiwa na Mzee Hamza Kasongo(C) na Makamu wa rais wa UTPC (R). |
![]() |
| Safi. |



















0 comments:
Chapisha Maoni