Searching...
Jumamosi, 26 Oktoba 2013

MAKAMU WA RAIS DK.BILALI ATUA MKOANI KIGOMA KWA ZIARA YA SIKU MBILI

 
Makamu wa Rais Dk.Mohamed Bilal akiwasili uwanja wa ndege wa kigoma, kuanza ziara ya siku mbili.

 
Makamu wa Rais Dk. Bilali akisalimiana na mkuu wa mkoa wa kigoma luten kanal mstaafu Issa Machibya.
  
Makamu wa rais akisalimiana na viongozi mbalimbali

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!