RAIS OBAMA ATINGA MTAANI BILA WALINZI ANUNUA SANDWICH,WATU WAACHA KAZI WAJITOKEZA KUMSHANGAA
Home
»
Unlabelled
» RAIS OBAMA ATINGA MTAANI BILA WALINZI ANUNUA SANDWICH,WATU WAACHA KAZI WAJITOKEZA KUMSHANGAA
Rais wa Marekani, Barack Obama
akikatiza katika maungio ya barabara ya 17 na Pennsylvania Avenue jijini
Washington, D.C., baada ya kutoka kwenye mgahawa wa mtaa wa jirani
kununua 'sandwich' tarehe 4 Oktoba 2013. (picha: Pete Souza/ Ikulu
"White House"). Wawakilishi wa Wananchi huko Bungeni 'wamemwekea usiku'
na 'kumzingua' Rais Obama kwenye mipango yake inayotegemea bajeti ambayo
waligoma kuipitisha, naye akatilia ngumu kubadili au kuondoa miradi
yake.
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.