Moja ya jengo lililopo karibu na ikulu ya marekani likiwa chini ya ulinzi mkali baada ya mama huyo kuleta kizaa zaa na hofu kubwa
Mlenga shabaha wa marekani akiwa katika mkao wa atakayepita mbele yake anakwenda na maji
Hili ndilo gari alilokua akiliendesha mama huyo ambaye hata hivyo kwa mujibu wa msemaji wa polisi wa kituo cha Capitol Hill amesema hakuna dalili zozote za kwamba hilo tukio lilikua ni la kigaidi.
Baadhi ya majeruhi wachache katika tukio hilo wakipandishwa kwenye gari la wagonjwa
Ambulace zikiwa tayari tayari kwaajili ya kazi
Hapa ndipo mahali mwana mama huyo alipokaidi kizuizi cha polisi na kugonga magari ya polisi na kukimbia kabla ya kupigwa risasi na kufariki dunia.
duuh staili hiyo ingekuwa bongo daladala zingekoma
JibuFuta