Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT,
kanda ya Kaskazini, Dkt. Martin Shao akiendesha Ibada ya Maziko
ya aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyefariki dunia Oktoba 21
mwaka huu, Jijini Dar es salaam na Kuzikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji
cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi
Vijijini, mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akitoa heshima za
mwisho katika Jeneza la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama
Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Mkuu wa wilaya ya Hai, Novatus Makunga (wakwanza) na Mkuu
waWilaya ya Moshi, Dkt. Ibrahimu Msengi (wa pili) wakitoa heshima zao
za mwisho katika Jeneza la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama
Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Kamanda
wa Polisi mkoanbi Kilimanjaro, ACP-Robert Boaz akitoa Salamu za
Rambirambi kwa niaba IGP Said Mwema katika ibada ya Maziko ya aliyekuwa
Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi wa Polisi,
James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani kwake, kijiji cha Msae, Kata ya
Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini,
mkoani Kilimanjaro.
Mke wa Marehemu, Maria Kombe (katikati) pamoja na watoto wake
wakifuatilia ibada ya Maziko ya Mume wake, aliyekuwa Mkuu wa kitengo
cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama (katikati),
Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Robert Boaz (kulia) na Kaimu
kamanda wapolisi mkoani Kilimanjaro, Moita Koka, wakitoa heshima za
mwisho katika Jeneza la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama
Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, ukiondolewa kanisani katika
kanisa la KKKT, usharika wa Msae kuelekea Nyumbani kwake kwa ajili ya
zoezi ya Maziko yaliyofanyika Jana, kijijini Msae, kata ya Mwika,
wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro.
Askofu Mkuu wa KKKT kanda ya Kaskazini, Dkt. Martin Shao,
akiweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama
Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini,
mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, akiweka Ua katika
Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini,
mkoani Kilimanjaro.
Kamanda wa Polisi kilimanjaro, Robert Boaz na Kamanda wa
Polisi Arusha, Liberatus Sabas (mwenye suti) wakiweka
Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Mke wa Marehemu, Maria Kombe, akiweka
Ua katika Kaburi la Marehemu mume wake, aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha
Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Wanafamilia wakiweka
Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Watoto wa Marehemu Kombe, wakiongozwa na Kaka yao, Dustan
Kombe kuweka Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha
Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Jaji wa Mahakama
Kuu kanda ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, Aisha Nyerere,
akiweka
Ua katika Kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, aliyezikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
Askari wa Jeshi la Polisi, wakitoa Heshima za mwisho katika
kaburi la aliyekuwa Mkuu wa kitengo cha Usalama Barabarani,
Kamishna Msaidizi wa Polisi, James Kombe, kwa Mujibu waTaratibu
zaKijeshi. Kombe alizikwa Jana Nyumbani
kwake, kijiji cha Msae, Kata ya Mwika, wilaya ya Moshi Vijijini, mkoani
Kilimanjaro.
0 comments:
Chapisha Maoni