Searching...
Jumapili, 27 Oktoba 2013

TANZANITE YAIGALAGAZA MOZAMBIQUE KWA KUICHAPA MABAO 10 NUNGE.

 Kikosi cha timu ya soka ya wanawake ya Tanzanite kikiwa katika picha ya pamoja,kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Msumbiji uliopigwa jana jioni kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Hadi mwisho wa mchezo,Tanzanite iliibuka kidedea kwa ushindi mnono wa mabao 10 - 0.
 Waamuzi wa mchezo huo.
 Kikosi cha Msumbiji.
Raha ya ushindi.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!