Searching...
Jumatatu, 23 Septemba 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATATU 23.09.2013



           
 WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 23/09/2013.
[Mikoa ya Kagera, Kigoma na Shinyanga ]:
 [Mikoa ya Mara na Mwanza]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache  na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa, Tabora  na Mbeya]:
[Mikoa ya Singida na Dodoma]: 
[Mikoa ya Ruvuma na Iringa]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               28°C               
12:30
D'SALAAM
           32°C           
12:19
DODOMA
30°C
12:33
KIGOMA           
31°C
12:58
MBEYA
28°C
12:41
MWANZA
29°C
12:44
TABORA
34°C
12:45
TANGA
30°C
12:20
ZANZIBAR
           30°C           
12:19
PEMBA
28°C
12:20
MOROGORO
32°C
12:26
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.    
Matazamio kwa usiku wa leo Jumatatu: 23/09/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 23/09/2013.
 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!