WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 23/09/2013.
[Mikoa ya Kagera, Kigoma na
Shinyanga ]:
[Mikoa ya Mara na Mwanza]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Dar-Es-Salaam,
Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Rukwa,
Tabora na Mbeya]:
[Mikoa ya Singida na
Dodoma]:
[Mikoa ya Ruvuma na
Iringa]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:
|
|
Hali
ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
12:30
|
D'SALAAM
|
32°C
|
12:19
|
DODOMA
|
30°C
|
12:33
|
KIGOMA
|
31°C
|
12:58
|
MBEYA
|
28°C
|
12:41
|
MWANZA
|
29°C
|
12:44
|
TABORA
|
34°C
|
12:45
|
TANGA |
30°C
|
12:20
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:19
|
PEMBA
|
28°C
|
12:20
|
MOROGORO
|
32°C
|
12:26
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani yote.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa usiku wa leo Jumatatu:
23/09/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 23/09/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni