Searching...
Jumapili, 1 Septemba 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATATU SEPT.02,2013



                
WIZARA YA UCHUKUZI
             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
               S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
                 TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 02/09/2013.

[Mkoa wa Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua

[Mikoa ya Mara, Mwanza  na  Kagera]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Ruvuma,Shinyanga, Lindi na Mtwara] :
[Mikoa ya Dar Es Salaam, Morogoro na Pwani]:
[Mikoa ya Dodoma, Mbeya, Singida na Rukwa]:
[Mikoa ya  Kigoma, Iringa na Tabora]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               26°C               
12:35
D'SALAAM
           31°C           
12:22
DODOMA
30°C
12:36
KIGOMA           
31°C
01:00
MBEYA
28°C
12:43
MWANZA
28°C
12:49
TABORA
32°C
12:48
TANGA
29°C
12:23
ZANZIBAR
           30°C           
12:22
PEMBA
            29°C           
12:23
MOROGORO
31°C
12:29
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani                                       ya Kaskazini na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.  
Matazamio kwa usiku wa leo Jumatatu: 02/09/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 02/09/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!