Searching...
Ijumaa, 20 Septemba 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMAMOSI 21-09-2013



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 21/09/2013.
[Mikoa ya Kagera,  Mara na Mwanza]:
[Mkoa wa Kigoma ]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Tanga]:
Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache  na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Dar-Es-Salaam, Morogoro na Pwani]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Tabora,  Shinyanga, Singida na Dodoma]: 
[Mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi]:
[Mikoa ya Rukwa, Iringa  na Mbeya]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
  VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
               24°C               
12:30
D'SALAAM
           32°C           
12:19
DODOMA
28°C
12:33
KIGOMA           
30°C
12:58
MBEYA
26°C
12:41
MWANZA
27°C
12:44
TABORA
31°C
12:45
TANGA
29°C
12:20
ZANZIBAR
           30°C           
12:19
PEMBA
28°C
12:20
MOROGORO
29°C
12:26
 Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani     ya Kaskazini na  kutoka Mashariki kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.  
 Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi: 21/09/2013: Mabadiliko kidogo.Utabiri huu umetolewa leo tarehe 21/09/2013.
  Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!