Searching...
Ijumaa, 20 Septemba 2013

MWANAMKE ANUSURIKA KUUAWA KWA KUIBA MTOTO MUSOMA

Mtoto aliyeibwa akiwa amejilalia zake huku akiwa hajui hata kwamba ameibwa

 Hii imetokea leo ijumaa sept.20,2013 mchana huko mjini musoma, mwanamke huyu kanusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kudaiwa kuiba mtoto wa siku moja. 
(KWA HABARI ZAIDI VUTA SUBIRA).

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!