Mwanafunzi
Wycklif Michael anayesoma kidato cha sita Shule ya Sekondari ya Loyola, akimuonesha
Naibu Waziri Mulugo programu ya mfumo wa kupiga kura aliyoibuni.
|
Naibu
Waziri Mulugo akimsikiliza Mkurugenzi wa JUE INTER SCHOOLS Ester Alexander
kutoka Arusha wakati akimueleza juu
mambo yanayofanywa na shule yake.
|
Naibu
Waziri Mulugo akipiga kinanda kwenye banda la Shule ya Sekondari ya Green Acres
wakati alipotembelea banda hilo kwenye maonesho ya Vodacom Elimu Expro.
Na Hussein Makame |
0 comments:
Chapisha Maoni