![]() |
| Meneja wa kiwanda cha Bilchand Oil Mill, Mohamed Gupta akifafanua uchafuzi unaofanywa na baadhi ya wanunuzi na wakulima kwa kuchang’anya pamba, maji, mchanga na mbegu kwa lengo la kuongeza uzito. |
![]() |
| Mbegu zilizochanganywa kenye pamba kwa lengo la kuongeza uzito |
![]() |
| Ukaguzi ukiendelea kwenye ghala la Pamba. |
![]() |
Meneja wa kiwanda cha Bilchand Oil Mill, Mohamed Gupta akionyesha
mchanga uliochanganywa na Pamba za moja wa wakulima waliokiuzia kiwanda
chake.
|
![]() |
| Ukiitizama kwa harakaharaka pamba hii unaweza kuiona kuwa iko salama, ila ukichukuwa jukumu la kuigusa ndipo utagunduwa kuwa kunachembe chembe za mchanga na uchafu mwingine ndani yake. |
![]() |
| Meneja wa kiwanda cha Bilchand Oil Mill, Mohamed Gupta akielezea uchafuzi huo ndani ya Pamba. |
![]() |
| Kwa ukaribu zaidi mchanga uliopatikana kwenye Pamba baada ya uchambuzi wa awali. |









0 comments:
Chapisha Maoni