| watu kutoka sehemu mbali za mji wameshiriki mazishi |
| mwili wa marehemu ukiwa katika sanduku watu wakitoa heshima za mwisho |
| Mtumishi wa mungu akiomwombea marehemu aende kwa amani |
| Hapa msafara kwa ajiri ya kuupeleka mwili wa marehemu katika nyumba ya milele |
| Baadhi ya madereva wa bodaboda wakijadili jambo kabla ya kuupeleka mwili wa marehemu kuzikwa |
| wakazi wa mtaa wa kihodombi wakiwa nyumbani kwa marehemu |
0 comments:
Chapisha Maoni