Searching...
Ijumaa, 30 Agosti 2013

WAKATI JANA MBUNGE WA TANZANIA AKIOMBA ZIREJESHWE SAFARI ZA MABASI USIKU,KENYA WANAPIGA MARUFUKU

A crashed bus lies with it's roof completely destroyed in Narok, Kenya, Thursday, Aug. 29, 2013. Kenya's Red Cross says at least 41 people were killed after the early morning crash. Police said more than two dozen others were injured after the bus driver lost control and the large touring bus plunged into a valley Thursday. Police officer Samuel Kimaru said the bus veered off the road around 2 a.m. and landed on its roof.  Deadly road accidents are common in Kenya, where highways lack safety features like guard rails or reflective paint. (AP Photo) Waziri wa Usafirishaji nchini Kenya amesema, serikali ya nchi hiyo itapiga marufuku mabasi ya abiria kusafiri usiku ili kupunguza ajali barabarani.
More than 33 people were hurt, according to local media reports.
Hii ni sehemu ya basi hilo lililoua watu 42 na kujeruhi 33
The bus was travelling from Nairobi to Homa Bay on the banks of Lake Victoria when it flew off the road, rolled over and plunged down a hill.
Huwezi kuamini kama hilo ni lilikua basi la abiria
A bus carrying some 70 people crashed after the driver lost the control near the town of Ntulele early Thursday.
Inatisha

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!