Searching...
Jumanne, 6 Agosti 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATANO AGST 07,2013




WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 07/08/2013.
[Mikoa ya Pwani,Tanga na Dar es salaam]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu  kiasi mvua nyepesi katika baadhi ya maeneo  na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Kagera na Mara]:

Hali ya mawingu kiasi , ngurumo katika maeneo machache  na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Rukwa, Mwanza, Mbeya na Ruvuma]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Shinyanga, Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Lindi, Morogoro na Mtwara]:
[Mikoa ya Tabora,  Iringa na Kigoma]:



Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
20°C
12:38
D'SALAAM
31°C
12:21
DODOMA
25°C
12:37
KIGOMA
30°C
01:02
MBEYA
21°C
12:42
MWANZA
30°C
12:53
TABORA
29°C
12:50
TANGA
28°C
12:25
ZANZIBAR
29°C
12:21
PEMBA
28°C
12:25
MOROGORO
28°C
12:28
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini -Mashariki kwa kasi ya km 30 kwa saa kwaPwani ya  Kaskazini  na kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini .
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa Kiasi .
Matazamio kwa usiku wa Jumatano: 0708/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 07/08/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!