HIVI NDIVYO ILIVYOKUA MECHI YA MWISHO KUKUTANA CHELSEA NA MANCHESTER UNITED
Home
»
Unlabelled
» HIVI NDIVYO ILIVYOKUA MECHI YA MWISHO KUKUTANA CHELSEA NA MANCHESTER UNITED
Mechi
ya mwisho kati ya Man U na Chelsea,Chelsea walishinda goli moja kwa
bila bao lililofungwa dakika ya 86 na mshambuliaji wa kimataifa wa
Hispania Juan Mata,huku Raphael akitolewa nje kwa kadi nyekundu dakika
ya 88,mechi hii ilichezwa tarehe 05.05.2013 na ilichezeshwa na mwamuzi
HOWARD WEBB mwamuzi anayeshutumiwa kuipendelea Man U mara kwa mara
kutokana na kudaiwa kuwa shabiki mkubwa wa Man U.
0 comments:
Chapisha Maoni