LULU MWENYEWE AKISEMA NENO KATIKA UFUNGUZI WA FILAMU YAKE YA FOOLISH AGE
Elizaberth
Michael (Lulu) akizungumza na wageni waalikwa katika uzinduzi wa filamu
ya Foolish Age iliyotengenezwa na Kampuni ya Proin Promotion chini ya
Mwenyekiti wake Jonson Lukaza ambaye ameweza kujitolea kwa hali na mali
mpaka kufanikisha utengenezaji wa filamu hii na uzinduzi kwa ujumla,
Uzinduzi huo unafanyika usiku huu.
Waigizaji wa filamu na wageni mbalimbali wakifuatilia filamu ya Lulu.
Tapeli Dude akifanya mambo yake wakati wa uzinduzi huo.
Mwanamuziki Barnaba Classic akiimba kwenye uzinduzi huo.
Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo.
Elizabeth
Michael (Lulu) akiwasili kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es
salaam tayari kwa uzinduzi wa filamu yake inayokwenda kwa jina la
Foolish Age
Mwenyekiti wa Kampuni ya Proin Promotion akizungumza na wageni
waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa filamu ya Foolish Ege.
MUIMBAJI stadi wa Wibo wa YAHAYA wa Nguli wa muziki wa Kizaki
kipya Lady Jay Dee umemjaza mahela Msanii wa Filamu aliyejizolea umaarufu kwa
miaka ya hivi karibuni, Elizabeth Michael ‘Lulu’ wakati akiimba wimbo huo na
Jide wakati wa uzinduzi wa Video yake mpya na yakwanza kusimama peke yake ya
FOOLISH AGE.
Wasanii mbalimbali walihudhuria show hiyo usiku huu pale Mlimani City
Lulu
akizungumza machache mara baada ya Move yake hiyo kuoneshwa kwa
mashabiki na wapenzi wa filamu Tanzania ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
Wadau walifuatilia burudani...
Jide akikamua jukwaani...
Mama na mwanao ni kama chanda na Pete... huyo ni Natasha (kulia) na Bintiye Monalisa.
.... Walitunzana tu kivyao vyao...
noti alizo tuzwa Jide...
Rich Rich akimwaga noti
Wadau wakifuatilia uzinduzi huo wa Filamu.
Furaha ilitawala
Mwogozaji wa Filamu za Kibongo, Leah Mwendamseke nae alikuwepo kuangalia kazi hiyo ya Lulu.
Waongoza Shughuli hiyo watangazaji wa Redio na TV Double G na mwana dada kutoka Times FM walikuwepo.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA FATHER KIDEVU BLOG
Mama na mwanao ni kama chanda na Pete... huyo ni Natasha (kulia) na Bintiye Monalisa.
.... Walitunzana tu kivyao vyao...
noti alizo tuzwa Jide...
Rich Rich akimwaga noti
Wadau wakifuatilia uzinduzi huo wa Filamu.
Furaha ilitawala
Mwogozaji wa Filamu za Kibongo, Leah Mwendamseke nae alikuwepo kuangalia kazi hiyo ya Lulu.
Waongoza Shughuli hiyo watangazaji wa Redio na TV Double G na mwana dada kutoka Times FM walikuwepo.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA FATHER KIDEVU BLOG

0 comments:
Chapisha Maoni