Bingwa
wa duni mara mbili wa mchezo wa ngumi Bondia Francois Botha (White
Buffalo) akielezea jambo kwa waandishi wa habari alipotembelea ofisini
kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara
kulia jana jijini Dar es Salaam.
Bingwa
wa duni mara mbili wa mchezo wa ngumi Bondia Francois Botha (White
Buffalo) akielezea jambo huku Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akisikiliza kwa makini jana jijini
Dar es Salaam. Botha yupo nchini kufuatia kuwepo kwa pambano la ngumi la
dunia litakalofanyika kesho huku likiwakutanisha mabondia Francis Cheka
wa Tanzania na Phill William wa Marekani.
KWA HISANI YA FULL SHANGWE
0 comments:
Chapisha Maoni