Searching...
Jumamosi, 6 Julai 2013

NITAWATUMIA WAKONGWE KUPATA MAFANIKIO-MOURINHO...SASA KUMUONGEZA ALONSO DARAJANI

Chelsea magazine 
JOSE MOURINHO-KOCHA WA CHELSEA
Constants: Terry (centre) and Lampard (right) have been present throughout Abramovich's decade of success 
WACHEZAJI WAKONGWE WALIOMPA MAFANIKIO MAKUBWA MOURINHO WAKATI AKIIFUNDISHA KLABU HIYO KWA MARA YA KWANZA DROGBA,TERRY NA LAMPARD.
Impact: John Terry (left) hailed Roman Abramovich (right) after a decade in charge. Here he is pictured with the billionaire after Chelsea's 2004-05 title win, and (below) after the 2012 Champions League victoryTAJIRI WA CHELSEA NA MMILIKI WA KLABU HIYO ROMAN ABRAMOVIC AKIFURAHIA NA WAKONGWE WA TIMU HIYO LAMPARD NA JOHN TERRY




XABI ALONSO.
Clabu ya CHELSEA inayo matumaini makubwa ya kumsajili kiungo wa Real Madrid Xabi Alonso baada ya kumfukuzia kwa kipindi chote cha usajili na Chelsea wamepata nguvu zaidi baada ya taarifa za ndani za Madrid kusema hawana mpango wa kumuongezea mkataba Alonso.
Taarifa zinazidi kusema Alonso pamoja na wakala wake wamefanya mazungumzo na Madrid lakini hawakufikia makubaliano ya kumuongezea mkataba.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!