Rais wa kipindi cha mpito nchini Misri,Adly
Mansour anayeungwa mkono na jeshi la nchi hiyo,amelivunja tawi la juu la bunge
la nchi hiyo ambalo lilikuwa linadhibitiwa na waislamu wenye msimamo mkali,na taarifa zaidi zinasema bado ghasia zinaendelea na watu kadhaa wameuwawa baada ya mapinduzi ya jeshi yaliyotoa madarakani rais wa nchi hiyo Mohamed Morsi.
ASKARI WAKILINDA DORIA MISRI
Jumamosi, 6 Julai 2013
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni