FRANCIS MIYEYUSHO ASAINI MKATABA, KUZIPIGA NA MZAMBIA NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA IDDI MOSI
Home
»
Unlabelled
» FRANCIS MIYEYUSHO ASAINI MKATABA, KUZIPIGA NA MZAMBIA NDANI YA DAR LIVE SIKUKUU YA IDDI MOSI
Bondia
Francis Miyeyusho (kulia) akitia saini mkataba wa makubaliano ya
kuzipiga sikukuu ya Iddi Mosi na Darius Lipupa wa Zambia. Mpambano huo
utapigwa katika ukumbi wa Dar Live. Kushoto ni rais wa TPBO, Yassin
Abdallah 'Ostadhi'.
Francis Miyeyusho (kushoto) akitia saini ya dole gumba mkataba wa
makubaliano ya kuzipiga na Mzambia, Darius Lipupa katika ukumbi wa Dar
Live sikukuu ya Iddi Mosi. Kushoto ni Rais wa TPBO, Yassin Abdallah…
Bondia
Francis Miyeyusho (kulia) akitia saini mkataba wa makubaliano ya
kuzipiga sikukuu ya Iddi Mosi na Darius Lipupa wa Zambia. Mpambano huo
utapigwa katika ukumbi wa Dar Live. Kushoto ni rais wa TPBO, Yassin
Abdallah 'Ostadhi'. Francis
Miyeyusho (kushoto) akitia saini ya dole gumba mkataba wa makubaliano
ya kuzipiga na Mzambia, Darius Lipupa katika ukumbi wa Dar Live sikukuu
ya Iddi Mosi. Kushoto ni Rais wa TPBO, Yassin Abdallah 'Ostadhi'. Rais
wa TPBO, Yassin Abdallah 'Ostadhi' (kushoto) akimkabidhi kiasi cha pesa
bondia Fransic Miyeyusho kama sehemu ya maandalizi ya mpambano hio.
0 comments:
Chapisha Maoni