Searching...
Alhamisi, 20 Juni 2013

VIJANA WA KIDATO CHA SITA WAMALIZA MAFUNZO YAO KWA MUJIBU WA SHERIA KAMBI YA BULOMBOLWA


 
Kikosi cha askari wa JKT wa kidato cha sita kwa mujibu wa sheria wakipita mbele ya mgeni rasmi kutoa heshima kwa mwendo wa pole 
  
Hapa wakionyesha umahiri wao wa kupambana na adui kwa kutumia silaha SINGE....hapa utasikia SINGEEE wanaitikia CHOMA CHOMAAAAAA!!!!
 
Usawa wa kati macho mbele
 
Hapa wakionyesha umahiri wa kucheza sarakasi
 
Hapa wakimsikiliza mgeni rasmi (hayupo pichani)
  
JKT kuna kila aina ya mafunzo....JUU NA CHINI
Vijana waliomaliza mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria katika kambi ya Bulombora kigoma, wakitumbuiza kwa ngoma ya asili ya kimakonde wakati wa kufunga mafunzo ya oparesheni miaka 50.
 
 Huwezi amini kama ni makamanda wa kidato cha sita
 
Hapa ni kama kila mmoja anasema SIAMINI KAMA NIMEMALIZA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!