Searching...
Jumatano, 19 Juni 2013

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA BARANI AFRIKA YANAYOENDELEA HAPA NCHINI GHANA

IMG_4734 IMG_4774 
Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi Ingiahedi Mduma akifafanua  jambo kwa  Bw. Eugene Koranteng Henaku wa Umoja wa Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Serilkali za Mitaa  Nchini Ghana.Picha zote na Scola Malinga- Hazina -Tanzania
Afisa Tawala Mwandamizi wa Wizara ya Fedha  Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali Bw. Merkion Ndofi akimkaribisha mwananchi  wa Ghana katika  banda la Wizara ya Fedha.
Bw. William Ghump  amabaye ni Ofisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi wa Wizara ya Fedha na Mkurungezi wa Utawala na Utumishi Bw. Peter Mapigano wa Benki ya Posta Tanzania  pamoja  Msemaji wa Wizara ya Fedha Bi. Ingiahedi Mduma  wakipanga mkakati wa uelimishaji umma katika banda la Wizara ya fedha.
Mkuu wa Kitengo cha Mikopo kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Serikali Wizara ya Fedha Bi. Christina Ngonyani akitoa ufafanuzi kwa wananchi wa Ghana  juu ya umuhimu wa mikopo kwa Watumishi wa  Serikalini. IMG_4682 
Afisa Tawala Mwandamizi wa  Wizara ya Fedha, Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali Bw.Merkion  Ndofi akiwaeleza wanafunzi wa Ghana juu ya utendaji kazi wa Idara ya Utawala katika wizara ya Fedha Nchini Ghana.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!