Searching...
Ijumaa, 14 Juni 2013

TAMASHA LA FILAMU GRAND MALT KUANYIKA JIJINI MWANZA.



Msaani Jacline Walper) wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kufanyika kwa tamasha la filamu jijini  Mwanza kwenye viwanja vya Sahara  ambalo limedhaminiwa na GrandMalt na Isamilo Lodge ya Mwanza.
Meneja wa kinywaji cha Grand Malt, Consolata Adam akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza Tamasha la Wazi la Filamu Tanzania maarufu kama ‘Grand Malt Tanzania Open Film Festival’ mwaka huu ambalo linatarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Sahara jijini Mwanza.Kushoto ni Mratibu wa Tamasha hilo,Mussa Kisoky na kulia ni Meneja Habari na Mahusiano wa TBL,Edith Mushi.
Mratibu wa Tamasha Tamasha la Wazi la Filamu Tanzania maarufu kama ‘Grand Malt Tanzania Open Film Festival’,Mussa Kisoky akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) namna alivyojiandaa na Tamasha hilo ambalo Mwaka huu litafanyika jijini Mwanza.
Msanii wa Filamu kutoka Bongo Movie,Jacob Steven (kati) akizungumza na vyombo vya habari juu ya Tamasha hilo huku akiwataka wananchi wa jiji la Mwanza kujitokeza kwa wingi.
Msanii wa Filamu nchini kutoka Bongo Movie,Jacqueline Wolper akizungumza na vyombo vya habari juu ya Tamasha hilo huku akiwataka wananchi wa jiji la Mwanza kujitokeza kwa wingi.
 
Picha ya pamoja mara baada ya mkutano huo.
 
picha kwa hisani ya demasho blog.
 ****  *****

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!