Ujumbe
wa madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Makete wakipata maelezo kutoka
kwa watumishi wa shamba la waziri mkuu Mizengo Pinda walipofanya ziara
ya kujionea shughuli zinazoendeshwa shambani humo.
Naibu
waziri wa maji na mbunge wa jimbo la Makete Mh. Dkt Binilith
Mahenge(kushoto) akiwa na katibu wa CCM wilaya ya Makete Miraji Mtaturu
katika shamba la waziri mkuu Pinda lililopo Dodoma.
Diwani wa kata ya Isapulano wilayania Makete akiangalia nyanya chungu.
Hizo ni ekari namba mbili ya zabibu
0 comments:
Chapisha Maoni