Searching...
Alhamisi, 16 Mei 2013

WAJUMBE WA KAMATI YA MABADILIKO YA KATIBA WAENDELEA NA VIKAO

 MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku (katikati) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi Mei 16, 2013). Wengine ni Wajumbe wa Tume, Alhaji Said El Maamry (kushoto) na Bw. Yahya Msulwa.
 
MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Mwatumu Malale (kushoto) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi Mei 16, 2013). Wengine ni Wajumbe wa Tume, Bw. Awadh Said (katikati) na Richard Lyimo.Picha na Tume ya Katiba

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!