WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE
10/05/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mwanza na
Mara,]:
[Mkoa wa Kigoma ]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
|
[Mkoa wa Tanga, Visiwa vya
Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Dar Es Salaam na
Pwani]
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua katika
maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
|
[Mikoa ya Morogoro,
Rukwa, na Ruvuma] :
[Mikoa ya Dodoma na
Shinyanga]:
[Mikoa ya Singida na
Tabora]:
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]:
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAARIFA:
KUONDOA TAHADHARI YA UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA KATIKA MWAMBAO
WA PWANI .
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA
|
22°C
|
12:30
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:15
|
DODOMA
|
29°C
|
12:30
|
KIGOMA
|
29°C
|
12:55
|
MBEYA
|
22°C
|
12:36
|
MWANZA
|
28°C
|
12:45
|
TABORA
|
29°C
|
12:43
|
TANGA |
30°C
|
12:18
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:15
|
PEMBA
|
28°C
|
12:18
|
MOROGORO
|
29°C
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka
Kusini; kwa kasi ya km 30 kwa saa katika Pwani ya Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa kasi ya
km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini.
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo hadi
makubwa kiasi.
Matazamio kwa
usiku wa leo Ijumaa: 10/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo
tarehe 10/05/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni