Searching...
Jumamosi, 4 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA MAY 05,2013-JUMAPILI UKIWA NA TAHADHARI



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
ITV – INDEPENDENT TELEVISION /RADIO ONE
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 05/05/2013.


[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza  na  Shinyanga]:
[Mkoa wa Kigoma  ]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Dar Es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
Hali ya mawingu , mvua katika baadhi ya
maeneo  na vipindi  vifupi vya  jua.

[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara , Lindi na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi , mvua katika
maeneo machache  na vipindi  vya  jua.

[Mikoa ya Rukwa, Mbeya  na Ruvuma]  :
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora]:


Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

TAHADHARI: MVUA KUBWA ZINATARAJIWA KUENDELEA KATIKA MKOA WA TANGA, VISIWA VYA PEMBA                                                         NA UNGUJA. TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C               
12:30
D'SALAAM
30°C           
12:15
DODOMA
29°C
12:30
KIGOMA           
27°C
12:55
MBEYA
23°C
12:36
MWANZA
29°C
12:45
TABORA
29°C
12:43
TANGA
28°C
12:18
ZANZIBAR
29°C           
12:15
PEMBA
26°C           
12:18
MOROGORO
29°C           
12:22

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka  Kusini katika Pwani  ya                                                       Kaskazini na kutoka Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kusini

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi

 Matazamio kwa usiku wa leo Jumapili: 05/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 05/05/2013.
 
 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!