Searching...
Jumanne, 14 Mei 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA LEO TAREHE 14.05.2013-JUMANNE



WIZARA YA UCHUKUZI
                               MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 14/05/2013.
[Mikoa ya Kagera na Mara,]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika  maeneo machache na vipindi  vya jua
[Mikoa ya Tanga, Dar Es Salaam na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro]:
Hali ya mawingu kiasi na mvua katika
maeneo  machache na vipindi  vya  jua.
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Mbeya na Iringa]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo  machache na vipindi  vya  jua.
[Mikoa ya  Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Tabora]:
[Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi  vya  jua.

TAHADHARI:
  UPEPO MKALI  UTAKAOAMBATANA NA MAWIMBI MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2         UNATARAJIWA KATIKA MAENEO YA PWANI YOTE PAMOJA NA ZIWA VICTORIA.

TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.
  
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C               
12:29
D'SALAAM
30°C           
12:12
DODOMA
29°C
12:28
KIGOMA           
30°C
12:53
MBEYA
22°C
12:33
MWANZA
28°C
12:44
TABORA
29°C
12:41
TANGA
29°C
12:16
ZANZIBAR
30°C           
12:12
PEMBA
29°C           
12:16
MOROGORO
29°C           
12:19

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma  kutoka   Kusini  kwa kasi ya km 40 kwa saa katika Pwani  yote.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.

 Matazamio kwa usiku wa leo Jumanne: 14/05/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 14/05/2013. 
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!