Jaji Sam Rumanyika akiwa tayari kulikagua gwaride la askari polisi wa kikosi cha FFU,kabla ya kuanza vikao vya mahakama kuu mjini kigoma.
Jaji Rumanyika akikagua gwaride mjini kigoma
Jaji Sam Rumanyika akiondoka Mara baada ya kukagua gwaride , ikiwa ni ishara ya kuanza kwa vikao vya mahakama kuu.
Mkuu wa idara ya uhamiaji mkoa wa Kigoma bwana Said Kamugisha, akitoa maelezo kwa
waandishi aw habari, juu ya wahamiaji haramu wanavyochangia uhalifu
mkoani kigoma, kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati ya ulinzi na usalama
ya mkoa wa kigoma.
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA DEOGRATIUS NSOKOLO-KIGOMA
0 comments:
Chapisha Maoni