WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
ITV – INDEPENDENT TELEVISION
/RADIO ONE
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 08/05/2013.
|
[Mikoa ya Kagera, Mara,
Mwanza na Shinyanga]:
[Mkoa wa Kigoma ]:
|
Hali ya mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua
|
||||
|
[Mikoa ya Dar Es Salaam,
Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mikoa ya, Mbeya na Iringa]:
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
mvua katika
maeneo machache na vipindi vya
jua.
|
|||
|
[Mikoa ya Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro,
Rukwa, na Ruvuma] :
[Mikoa ya Dodoma, Singida
na Tabora]:
[Mikoa ya Mtwara na Lindi]
|
|
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI:
UPEPO MKALI ZAIDI YA KM 40
KWA SAA UTAKAOAMBATANA NA MAWIMBI
MAKUBWA
YANAYOZIDI MITA 2.0 UNATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI.TAFADHALI
CHUKUA TAHADHARI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
|
MJI
|
Kiwango cha juu cha
joto
|
Machweo (Saa)
|
|
ARUSHA
|
23°C
|
12:30
|
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:15
|
|
DODOMA
|
29°C
|
12:30
|
|
KIGOMA
|
31°C
|
12:55
|
|
MBEYA
|
22°C
|
12:36
|
|
MWANZA
|
28°C
|
12:45
|
|
TABORA
|
29°C
|
12:43
|
TANGA |
31°C
|
12:18
|
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:15
|
|
PEMBA
|
30°C
|
12:18
|
|
MOROGORO
|
30°C
|
12:22
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka
Kusini kwa kasi ya km 40 kwa saa katika Pwani yote
Hali ya bahari:
Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa.
Matazamio kwa
usiku wa leo Jumatano: 08/05/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe 08/05/2013.
Na: MAMLAKA
YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni