Wafanyakazi
wilayani Makete wakiandamana kutoka ofisi za halmashauri ya wilaya
kuelekea kwenye viwanja vya mabehewani kwenye sherehe za mei mosi 2013
Wafanyakazi wakiingia katika viwanja vya mabehewani kwa maandamano
Mwakilishi wa wafanyakazi akisoma risala kwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya Mei Mosi
Msomaji risala akimkabidhi risala mgeni rasmi
Mtumishi kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya ya Makete Bw. Sanga akipewa zawadi ya
ufanyakazi bora na mgeni rasmi
Katibu
tawala wilaya ya Makete Joseph Chota ambaye pia ni mgeni rasmi akisoma
hotuba kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro kwenye
sherehe za Mei Mosi wilaya ya Makete
Kutoka
kushoto ni mwenyekiti wa CCM wilaya ya Makete Francis Chaula, diwani wa
kata ya Iwawa Benjamin Mahenge na katibu wa CCM wilaya ya Makete,
Miraji Mtaturu wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi
Baadhi ya wafanyakazi wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi(Picha zote na mdau
PICHA NA HABARI NA EDWIN MOSHI-MAKETE.
0 comments:
Chapisha Maoni