Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya mwenge
wa uhuru daraja la nne, Sajini Martha Njau kwenye hafla ya kuwavisha
nishani Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya
Mashariki. Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam. Picha na
Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
Jumapili, 5 Mei 2013
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni