Mwandishi
wetu aliyepo Mtwara ametueleza kuwa hivi sasa baadhi ya wananchi wa
eneo la magomeni mkoani mtwara wamekimbilia katika Hospitali ya Mkoa wa
Mtwara Lugula wakihofia usalama wao kutokana na vurugu za kuchomwa kwa
nyumba zao pamoja na vibanda vya biashara zilizotokea leo asubuhi katika
eneo hilo..
Maduka maeneo ya Magomeni yamechomwa moto ikiwamo pia mali za Askari magereza . Mwanafunzi wa CHUNO amefikishwa hospitali Ligula na majeraha ya risasi mguuni.
Mwanamke mwingine anayekadiriwa kuwa na miaka 25 mjamzito ameuawa kwa kupigwa risasi maiti ipo Ligula.






0 comments:
Chapisha Maoni